Pages

KUNYAMBA IMEFANYA NAHESHIMIWE

Thursday 29 May 2014


KUNYAMBA IMEFANYA
NAHESHIMIWE
Nilikuwa nimechil kwa club yetu
inaitwa club
Frakas nikikunywa K

eg ya 50bob
kwa lounge
pekee yangu.
Nikaskia kunyamba nikasema
sifinyilii coz niko
solo.
Nikanyamba mshuto kali yenye
ingewekwa kwa
pH scale ingefika 1.0.
Wacha saa hizo ndio crush wangu
akakuja
kudance na mimi na venye
nanuka mavi.
Ngoma ya Real Warrior ya
Turbulence ikaanza
kuchezwa kwa bahati nzuri.
So ilikuwa natym Turbulence
akisema, "PUBBO
BUBBO" hapo ndipo nalipua
mnyambo huku
nikisugua kadem.
Bahati mbaya stima ikalost mimi
nikalipua
mlipuko ya haga maze hadi watu
wa klabu
wakacheka. Watu wakadhani ni
kadem
kamenyamba maze si niliokoka.
Toka hapo madem wa club frakas
huniogopa
sana wakiniona wanadai, "huyu
ndio ule boy
akikusugua unanyamba".

0 comments:

Post a Comment

 
Shinekenya © 2014 Designed by Madebe ,