Pages

Colombia kugusa na Brazil

Thursday 3 July 2014

Colombia ndio walibaki kama
machampee baada ya kutinga
Uruguay dude mbili mtungi naku
make journey yao ya World Cup 2014
kufika ukingoni. Colombia ilishinda
na dude mbekse kutoka
kwa Rodriguez, sasa huyu player
ndio ana hold the Golden boot akiwa
na dude kobole. Wasee wengine
wenye wakona madude most ni kama
Neymar na Lionel Messi wakiwa na
dude four .
Uruguay waligusa bila player wao ule
mnoma Luis Suarez baada FIFA
kumbann for nine international
matches na bado miezi nne asiwe
associated na risto zozote za futa.
Colombia huwa wanategemea sana
huyu player wao Radamel Falcao, but
sasa wakona reason yaku smile juu
wakona player mwingine mpoa sana
Rodriguez akiwa na miaka mbao na
bweks.
Tukicheki facts kadhaa hasapa
tunaona James Rodriguez ndio
player ametinga dude  kwa game
zote zikifwatana. Ma player wengine
wenye washawai tinga dude kwa
game four zikifwatana nikama
Rivaldo na Ronaldo wote wakiwa
players wa Brazil. Alafu hii ndio
mara ya fao Columbia kuwai fika
quarter finals.
And then tunacheki huyu player
Juan Cuadrado akipeana assists four
na zote ni za dude, hakuna player
mwingine hii World Cup ashawai
peana. Sasa Colombia ita have
kuface host Brazil kwa game yao
next, alafu nao Uruguay wamechoka
sasa pia wao watahave kupack virago
hadi mtaani. Alafu kulingana na
analysis zinadai Colombia
wakipatana na Brazil wanakaa
kuwahangaisha ile deadly, sasa
tungependa ku uliza unaonaje hiyo
mechi itaisha aje? team gani inakaa
kujichuja kati ya Colombia na Brazil?

Predict the scores to win 50mbs.

image

0 comments:

Post a Comment

 
Shinekenya © 2014 Designed by Madebe ,